Zechariah 10:6


6 a“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda
na kuiokoa nyumba ya Yusufu.
Nitawarejesha kwa sababu
nina huruma juu yao.
Watakuwa kama watu ambao
sijawahi kuwakataa
kwa sababu mimi ndimi Bwana Mwenyezi Mungu wao,
nami nitawajibu.
Copyright information for SwhKC